Տchool PVH
11.1K subscribers
305 photos
35 videos
904 files
927 links
The center of academic resources
📚 Primary School to teachers college

Android
https://play.google.com/store/apps/details?id=com.schoolpvh

iOS
https://apps.apple.com/tz/app/school-pvh/id6445867210
📞
+255747272228
+255626272229
+255747626040
Download Telegram
Kama ni mgeni kutumia app ya telegram na unahitaji kumwongeza member katika group lolote la telegram
Fahamu njia rahisi ya kuongeza member bila tatizo

Tazama video fupi hapa chini
👇👇👇
https://youtu.be/-xAauH28RWg
OFISI ya Rais - TAMISEMI inapenda kuutangazia Umma kuwa Serikali imetoa nafasi za ajira ya Walimu wa Shule za Msingi na Sekondari. Kwa sababu hiyo, Ofisi ya Rais - TAMISEMI inawatangazia walimu wenye sifa kutuma maombi yao kwa njia ya mtandao kupitia kiunganishi cha aiira.tamisemi.go.tz (Online Teacher Employment Application System - OTEAS).
Walimu wanaotakiwa kutuma maombi ni wenye sifa za kitaaluma kama ifuatavyo:

WALIMU WA SHULE ZA MSINGI
Mwalimu Daraja la IIIA- mwenye Astashahada (Cheti) ya Ualimu;
Mwalimu Daraja la IIIB - mwenye Stashahada (Diploma) ya Ualimu katika somo la English na waliosomea Elimu ya Awali;
Mwalimu Daraja la IIIC - mwenye Shahada ya Ualimu wa masomo ya English, Civics, General Studies, History, Geography na Kiswahili;
Mwalimu Daraja la IIIB na IIIC - mhitimu wa Stashahada (Diploma) ya Ualimu (Elimu Maalum) wa masomo ya Lugha, Sanaa, Sayansi na Hisabati.
@schoolpvh

WALIMU WA SHULE ZA SEKONDARI
i. Mwalimu Daraja la IIIB 一 mwenye Stashahada (Diploma) ya Ualimu waliosomea Elimu Maalum kwa masomo ya English Language,
Geography, Physics na Mathematics',

II. Mwalimu Daraja la IIIB - mwenye Stashahada (Diploma) ya Ualimu wa masomo ya Physics, Mathematics, Biology, Chemistry, Home Economics na Agricultural Science;
Mwalimu Daraja la IIIC - mwenye Shahada ya Ualimu waliosomea Elimu Maalum kwa masomo ya English Language, Geography, Physics na Mathematics;

III. Mwalimu Daraja la IIIC • mwenye Shahada ya Ualimu wa masomo ya Physics, Mathematics, Chemistry na Biology.

IV. Mwalimu Daraja la IIIC - mwenye Shahada ya Ualimu wa masomo ya Agricultural Science, English Language, English Literature, Chinese, French, Book Keeping, Commerce, Accounts, Economics na Home Economics/Food and Human Nutrition;

V. Wahitimu wa Stashahada (Diploma) ya Ufundi na Shahada ya Uhandisi Ujenzi (Civil Engineering), Uhandisi Mitambo (Mechanical Engineering), Uhandisi Umeme (Electrical Engineering) na Electronic Engineering ambao wataajiriwa kama Walimu Daraja la IIIB na Daraja la IIIC; na
Fundi Sanifu Maabara - wahitimu wa Stashahada (Diploma) ya Ufundi Sanifu Maabara na Stashahada ya Sayansi na Teknolojia ya Maabara.

@schoolpvh

SIFA ZA JUMLA ZA MWOMBAJI
Mwombaji wa nafasi zilizoainishwa hapo juu awe na sifa za jumla zifuatazo:-
i) Awe ni Mtanzania;
ii) Awe amehitimu kati ya mwaka 2014 hadl 2019.
iii) Asiwe na umri wa zaidi ya miaka arobaini na tano (45);
iv) Walimu waliowahi kutuma maombi na hawakupata nafasi za ajira wanaweza kutuma maombi upya;
v) Walimu waliowahi kuajiriwa Serikalini hawatakiwi kutuma maombi; na
vi) Kila mwombaji wa ajira ya Ualimu ahakikishe ana Kitambulisho cha Taifa (NIDA) au namba ya NIDA.

MWISHO
Maombi yote ya ajira yatumwe kupitia kwenye mfumo wa maombi ya ajira wa Ofisi ya Rais - TAMISEMI kama ullvyooneshwa kwenye tangazo hili. Hakuna maombi yatakayopokelewa kwa njia tofauti na iliyoelekezwa. Waombaji wanatakiwa kutuma maombi yao kuanzia tarehe 07/09/2020 hadi 21/09/2020.
Imetolewa na:
Katibu Mkuu,
Ofisi ya Rais-TAMISEMI.
DODOMA.
7 Septemba, 2020

ANGALIA JINSI YA KUTUMA MAOMBI KUPITIA LINK HII👇👇

https://www.schoolpvh.ac.tz/2020/09/online-teachers-application-system.html

SHARE KWA WAHUSIKA WOTE
SYLLABUS ZOTE ZIPO HAPA
◇ Primary (swahili & English medium)
◇ Ordinary level 1- 4
◇ Technical school 1-4
◇ Advanved level 5-6

Dowload hapa zote
👇👇👇👇

https://www.schoolpvh.ac.tz/p/syllabus_14.html?m=1
FAHAMU Majina ya watoto (vikembe) wa wanyama mbalimbali>>>>..
@schoolpvh

Ng'ombe......Ndama
Nzige...kimatu/maige/tunutu/matumatu/funutu
Ndege....Kinda
Kipepeo/nondo....kiwavi
Nzi......Buu
Farasi....Kitekli
Mamba...... Kigwena
Nyangumi..... Kinyangunya
Fisi.... Kikuto/bakaya
Ngamia..... Nirigi/nirihi
Paka.......kinyaunyau/kipusi
Ndovu.... Kidanga
Mbweha.... Nyamawa
Nyani...... Kigunge
Kondoo..... Kibebe/katama
Mbuzi.....Kibui/kibuli/kimeme
Farasi na punda.... Nyumbu
Punda.... Kiongwe/kihongwe
Mbu....kiluwiluwi
Chura.... kiluwiluwi
Kuku..... Kifaranga
Papa.... Kinengwe
Nyuki.... Jana
Simba..... Shibli
Sungura.....Kitungule
Kwanga/wibari.... " "
Samaki.... Chengo/kichengo
Chui.... Chongole/kisui
Mbwa..... Kilebu/kidue/kibwa
Nyoka...... Kinyemere
Njiwa..... Kipura
@schoolpvh
www.schoolpvh.ac.tz
Mazazi, mtoa huduma, mlezi na familia mwenye uelewa wa msingi
katika lugha ya Alama ya Tanzania, ambao ungependa kuongeza ujuzi wa lugha ya alama katika
kuwasiliana na watoto wao viziwi kwa kutumia sentensi na tungo rahisi.

JIFUNZE NA UFAHAMU YOTE KUPITIA HII LINK👇👇

https://www.schoolpvh.ac.tz/p/blog-page_44.html?m=1

Faida za kujifunza Lugha hii:-

1. Hukuwezesha kufanya mawasiliano na viziwi.

2. Inaweza kuwa Ajira kwa kutafsili Lugha hii baina na viziwi na watu wasioelewa lugha hii.

3. Unaweza kuwa mwalimu bora wa lugha hii.

4. Inarahisisha ufundishaji kwa walimu walio kwenye shule zilizo na wanafunzi wasiosikia
MWALIMU TUMEKURAHISISHIA HAPA
Fahamu jinsi ya ku-converd hard copy ( Mtihani/document)
kuwa word ambayo unaweza kuedit kwa kutumia CAMSCANNER
Tazama video fupi hapa chini jinsi ya kubadili kwa kutumia SIMU yako
👇👇👇👇👇👇👇

https://youtu.be/nQ2cIN7motk
UKIDOWNLOAD FILE ULIONI LIPO SEHEMU GANI ?
Kama ni mgeni kumia app ya telegram na unasumbuka kila ukidownload faili lolote kwenye channel zetu za mitihani unapata shida kuliona lipo wap

FUATA HATUA ZIFUATAZO
NI RAHISI TU
kulisevu faili lako likiwa na jina kamili BOFYA LINK HAPA CHINI ILI UWEZE KUONA JINSI YA KUFANYA https://telegra.ph/save-file-09-27-2